BREAKING NEWS! RUNGU LA TFF LAMUANGUKIA HAJI MANARA!

Manara wa Simba aliitwa na kamati ya maadili ya TFF kwa tuhuma za makosa matatu ambayo yote ndio adhabu zake zimetangazwa na makamu mwenyekiti wa kamati ya nidhamu ya TFF wakili Jerome Msemwa, msemaji wa Simba aliyatenda makosa hayo April 19 katika mkutano na waandishi wa habari.
VIDEO: Kama ulikosa press ya Manara iliyofanya afungiwe miezi 12 na faini ya Tsh Milioni 9

Source: Millard ayo

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search