Countdown!! Siku mbili kabla ya Harusi yake Flora Mbasha asema "nilitamani mume atakaenijali na kuniheshimu"

“Sing-bird”  wa musiki wa injili maarufu kwa jina Flora Mbasha, amefunguka mambo kadhaa siku chache kabla ya ndoa yake mpya inayotarajiwa hivi karibuni.
Mwanadada Flora katika ubora wake !
Flora(pichani juu), ambaye ni mjukuu wa aliyekuwa muhubiri maarufu nchini, Askofu, Moses Kulola (sasa marehemu), katika mahojiano aliyofanyiwa na mtangazajia wa Tv moja ya burudani hivi karibuni, Flora amesema ilikuwa ndoto yake kupata mume bora, atakaemuheshimu na kumjali kama mke.
Kwa sasa maandalizi ya harusi yanaendelea na tayari ameshabadilisha jina lake la kisanii akitaka mashabiki wake wamtambue kama “Madame Flora” badala ya jina lililozoeleka la Flora Mbasha.


About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search