#Eng. Masauni asema "tutachukua hatua kwa wanaofanyia fujo waandishi!

Naibu Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Eng Hamad Masauni amesema kumekuwa na matukio ya Jeshi la Polisi, waandishi wa habari pamoja na wananchi wa kawaida kufanyiwa fujo na baadhi ya watu hivyo serikali itahakikisha inachukua hatua kali za kisheria kwa watuhumiwa.
bofya hapa kusikiliza...
bofaya hapa kama ulipitwa na yaliyojiri jana tarehe 27/4/2017

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search