MATUKIO BUNGENI: KAMA ULIPITWA NA MCHANGO WA MBUNGE HUSSEIN BASHE KWENYE HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI MKUU

Kati ya wabunge waliopata nafasi ya kusimama kuchangia mapitio ya mapato na matumizi ya fedha za ofisi ya Waziri mkuu na ofisi ya bunge kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ni pamoja na Mbunge wa Nzega mjini Hussein Bashe ambaye baadhi ya mambo aliyozungumzia ni pamoja na hali ya uchumi wa nchi pamoja na tatizo la Serikali kushindwa kusimamia migodi mikubwa kusaidia nchi kujipatia mapato.


Collected from: Millard Ayo

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search