VIDEO: ‘Watu walijaribu kunirushia chupa’-Harmorapa

Baada ya msanii Harmorapa kutupiwa chupa kwenye stage April 2 2017 na shabiki wakati akifanya show, jana tarehe 3/04/2017 Harmorapa alihojiwa na Ayo TV Entertaiment na kuelezea kisa kizima jinsi ilivyokuwa...
‘Ni kweli nilikuwa na show ambapo nilipigwa na chupa unajua ile chupa ilivyokuwa inakuja niliikwepa yaani baada ya pale mood yote iliisha ya kufanya show maana ndio show ilikuwa imeanza sijui kwanini watu wananirushia chupa au wanataka mimi nikawe kibaka mtaani maana mimi pale natafuta pesa‘>>>Harmorapa


Source: Millard Ayo

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search