BREAKING NEWS! Busara na Hekima za Ndesamburo zamgusa JPM, #SHARE atuma salamu nzito!

 

Ndugu msomaji wa MatukioTZA, nimekuwekea Salamu za Rambirambi kutoka kwa Mhe. Dkt John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambae hakusita kuelezea majonzi yake makubwa na huzuni kwa kifo cha mwanasiasa na kada mkubwa wa CHADEMA Bw. Philemon Ndesamburo.
Katika Rambirambi zake Rais alielezea jinsi walivyofanya kazi kwa ukaribu na ushirikiano wakati wote wawilii wakiwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano.

Rais amemalizia kwa kuwapa pole wafiwa.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search