Ona wimbo wa 'Wapo Remix' kibao cha wachekeshaji wa Bukoba !

Wimba maarufu wa Wapo wa msanii Nay wa Mitego ambao ume-hit sana katika mitandao siku za karibuni. Wachekeshaji kundi moja mjini bukoba wameurudia wimbo huu kwa mandhari tofauti kabisaaa... hebu msikilize  msanii Mkali wenu na wenzake akina Bwana Mjeshi, Ebitoke na Mama Ashura….credit: millardayo

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search