Video: Leo ni leo Uwakilishi wa CHADEMA - EALA: My Hands-on Salum Mwalimu & Pamela Massay.
Wateule
sita wa KAMATI Kuu ya CHADEMA kuwania nafasi mbili za Ubunge wa Bunge la Africa
Mashariki (EALA) wanatarajiwa kupigiwa kura jioni ya leo katika kikao cha Bunge
la jamhuri wa Muungano wa tanzania kujana nafasi hizo stahili kwa chama hicho
chenye wa Bunge wengi wa kambi ya upinzani Bungeni.
Miongoni
walipitishwa kujaza nafasi hizo mbili ni pamoja Ezekia Wenje na Lawrence Masha
waliopigiwa kura za hapana katika uchaguzi uliopita.
Kamati
Kuu ya Chadema miongoni mwa majina yaliyowasilishwa mbele ya Msimamizi wa
uchaguzi huo ni pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho Zanzibar, Salum
Mwalimu, Makamu Mwenyekiti Taifa, Profesa Abdallah Safari, Josephine Lemoyan na
Pamela Massay.
No comments:
Post a Comment