Serious Business: Trump ajipanga kuendesha Nchi


Rais wa Marekani Donald Trump amesema anataka kuanza kuendesha nchi baada ya utawala wake kugubikwa na utata wa tuhuma za timu yake ya kampeni kushirikiana na Urusi.
Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Washington, akiwa pamoja na Rais wa Colombia ambae yuko ziarani nchini Marekani, amesema anaheshimu uteuzi wa mchunguzi maalumu, lakini akarudia kusema kuwa sakata hilo linaigawa nchi:
Rais Trump pia amekana kujaribu kuishawishi FBI katika uchunguzi wake kwa kumfuta kazi mkurugenzi wake James Comey.
Amemwelezea Comey kuwa hakuwa chaguo la watu.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search