Yametimia... "Prof. Sospeter Mwijarubi Muhongo Out'
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli, Mchana huu ametengua rasmi Uteuzi wa Waziri wa Nishati na Madini Pro. Muhongo.
Utenguzi huo umekuja masaa kadhaa baada ya ya Rais Magufuli kumuambia Prof. Muhongo ajipime mwenyewe kama anatosha kuendelea kuwa Waziri wa Wizara hiyo kutokana na utata uliojitokeza wa waziwazi wakati wa Uwasilishaji wa Ripoti Maalum ya Kamati iliyoundwa na Rais kuchunguza Makontena ya Mchange wa Madini.
Ripoti hiyp imemuhusisha yeye kama Waziri mwenye dhamana kushindwa kuishauri Serikali na kuisababishia nchi hasara kubwa !
Tumekuwekea taarifa rasmi tuliyoipokea mchana huu kwa hisani ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu.
Utenguzi huo umekuja masaa kadhaa baada ya ya Rais Magufuli kumuambia Prof. Muhongo ajipime mwenyewe kama anatosha kuendelea kuwa Waziri wa Wizara hiyo kutokana na utata uliojitokeza wa waziwazi wakati wa Uwasilishaji wa Ripoti Maalum ya Kamati iliyoundwa na Rais kuchunguza Makontena ya Mchange wa Madini.
Ripoti hiyp imemuhusisha yeye kama Waziri mwenye dhamana kushindwa kuishauri Serikali na kuisababishia nchi hasara kubwa !
Tumekuwekea taarifa rasmi tuliyoipokea mchana huu kwa hisani ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu.
No comments:
Post a Comment