Breaking news!! Hali yatibuka Kibiti.. #share Askari wapigwa risasi,.. mmoja afariki ..


Askari Polisi wa kikosi cha usalama wa Barabarani wilayani Kibiti ambae  jina lake hajafahamika anahofiwa kuuwawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana katika kijiji cha Msafiri, Kata ya Bungu akiwa kazini na wenzake!

Mbali na kupigwa risasi na kuuawa kwa askari huyo, watu hao wamechoma moto gari moja na Pikipiki moja za askari hao kisha kutokomea kusikojulikana.


Matukio tutaendelea kukupasha kadri tutavyopata Taarifa za kina, endelea kuwa nasi..

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search