Good news: Nimeiona tena Nchi yetu Tanzania kwenye Ramani ya Utulivu kati ya Nchi 10 Barani Africa...!!

Ndugu yangu mfuatiliaji wa habari njema 10, baada ya Nchi yetu kuchomoza kwenye ramani ya Uchumi wa kitakwimu. 
Leo tena nimekusogezea hii; Tanzania Nchi ya amani ikiwa kwenye kilele cha amani miongoni mwa nchi 10 Barani Africa zenye amani zaidi.

Hii ni habari njema sana fuatana nasi uone ni nchi ipi nyengine iliyopo kwenye ramani hii ya Utulivu !!

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search