MATUKIO NA PICHA:KATIKA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI KATIKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS JIJINI DAR ES SALAAM.
Baadhi ya Washiriki wa Kikao cha Baraza la Wafanyakazi Katika Ofisi ya Makamu wa Rais Jijini Dar Esa Salaam

Baadhi ya Washiriki wa kikao cha Baraza la Wafanyakazi kilichofanyika katika Ofisi ya Makamu wa Rais jijini Dar es Salaam

Baadhi ya Washiriki wa kikao cha Baraza la Wafanyakazi kilichofanyika katika Ofisi ya Makamu wa Rais jijini dare s Salaam, wakiimba kwa pamoja wimbo wa Wafanyakazi.

Aliyesimama Bi Emmy Rugendela Afisa Elimu kazi katoka Ofisi ya Waziri Mkuu akishiriki katika baraza la wafanyakazi Ofisi ya Makamu wa Rais na kutoa mada iliyohusu wajibu wa wajumbe katika Barazala Wafanyakazi.kikao hicho kilifanyika katika Ofisi ya Makamu wa Rais Dar es Salaam.

Aliyesimama kujitambulisha ni Bi Jane A. Mbura Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi Serikali kuu na Afya (Tughe), Kulia kwake ni Bw. Gaudensi Kadago katibu wa Tughe Mkoa wa Dar es Salaam, na kushoto ni Bw. Deogratius Mbwasi katibu wa Tawi la Tughe Ofisi ya Makamu wa Rais.

Katikati Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Profesa Faustine Kamuzora akiongea katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi kilichofanyika katika ofisi hiyo jijini Dar es salaam Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo Injinia Ngosi Mwihava, kushoto ni Bw. Isaya Kisiri Mwenyekiti wa baraza la wafanyakazi Ofisi ya Makamu wa Rais. (Picha na Evelyn Mkokoi)
No comments:
Post a Comment