MATUKIO NA PICHA:KATIKA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI KATIKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS JIJINI DAR ES SALAAM.

unnamed

Baadhi ya Washiriki wa Kikao cha Baraza la Wafanyakazi Katika Ofisi ya Makamu wa Rais Jijini Dar Esa Salaam
1
Baadhi ya Washiriki wa kikao cha Baraza la Wafanyakazi kilichofanyika katika Ofisi ya Makamu wa Rais jijini Dar es Salaam
2
Baadhi ya Washiriki wa kikao cha Baraza la Wafanyakazi kilichofanyika  katika Ofisi ya Makamu wa Rais jijini dare s Salaam, wakiimba kwa pamoja wimbo wa Wafanyakazi.
3
Aliyesimama Bi Emmy Rugendela Afisa Elimu kazi katoka Ofisi ya Waziri Mkuu akishiriki katika baraza la wafanyakazi Ofisi ya Makamu wa Rais na kutoa mada iliyohusu wajibu wa wajumbe katika Barazala Wafanyakazi.kikao hicho kilifanyika katika Ofisi ya Makamu wa Rais Dar es Salaam.
4
Aliyesimama kujitambulisha ni Bi Jane A. Mbura Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi Serikali kuu na Afya (Tughe), Kulia kwake ni Bw. Gaudensi Kadago katibu wa Tughe Mkoa wa Dar es Salaam, na kushoto ni  Bw. Deogratius Mbwasi katibu wa Tawi la Tughe Ofisi ya Makamu wa Rais.
5
Katikati Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Profesa Faustine Kamuzora akiongea katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi kilichofanyika katika ofisi hiyo jijini Dar es salaam Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo Injinia Ngosi Mwihava, kushoto ni Bw. Isaya Kisiri Mwenyekiti wa baraza la wafanyakazi Ofisi ya Makamu wa Rais. (Picha na Evelyn Mkokoi)

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search