News 10: China Yasalimu Amri, Yakabidhi Mamlaka ya Hong Kong Baada ya Miaka 20 ya Kuikalia.. #share.. "WALETENI huku wanafunzi waliojifungua wapate Elimu.. !"
HONG KONG- LICHA ya harakati mbalimbali za kudai uhuru kamili wa Hong Kong kutoka China, Rais Xi Jinping amewasili mjini hapa ili kuadhimisha miaka 20 tangu China ilipokabidhiwa utawala kamili juu ya Hong Kong.
Akizungumza mbele ya halaiki iliyojitokeza uwanja wa ndege kumlaki, Rais Jinping alisema kwamba; “Baada ya miaka 9, hatimaye tena naikanyaga ardhi ya Hong Kong. Ninajisikia furaha isiyo na kifani, kwani Hong Kong imekuwa na sehemu kwenye moyo wangu muda wote.”
Hata hivyo, ujio wa Rais Jinping mjini hapa haukufurahiwa na watu wote kwani kabla ya ujio huo mamia ya wanaharakati na waandamanaji ambao wamekuwa wakidai uhuru kamili wa Hong Kong wamekamatwa na kuwekwa ndani ili wasivuruge sherehe hizo zinazotarajiwa kufanyika Jumamosi.
Miaka 20 iliyopita, utawala wa Uingereza uliirudisha Hong Kong katika mikono ya China chini ya mfumo ujulikanao kama ‘Taifa moja, Mifumo miwili’ ambao unaipa mamlaka China ya kuitawala Hong Kong kiuchumi na kiutawala.
SkyNews
Shule ya Kanisa ya Arch Bishop Mayalla iliyopo Kwimba, Mwanza inapokea wanafunzi waliokatisha masomo kisa mimba tangu 2010- HT @ MWANANCHI pic.twitter.com/ALurzX9N5k— Swahili Times (@swahilitimes) June 29, 2017
Morning News: Kama umepitwa na Taarifa za habari Asubuhi ya leo 29/06/2017 pitia hapa.. https://t.co/0Ilxu4BVKt— #matukio360 (@Matukio360) June 29, 2017
Wizara ya Maliasili na Utalii imesema kuwa, mabaki ya mjusi (dinosaria) yaliyopo nchini Ujerumani hayana tija kuletwa nchini- HT @ MWANANCHI pic.twitter.com/I7EJPy4QoH— Swahili Times (@swahilitimes) June 29, 2017
Kenya imekuwa nchi ya kwanza Afrika kutumia vidonge vya UKIMWI (Dolutegravir) vya kuboresha afya za waathirika na kutibu magonjwa nyemelezi. pic.twitter.com/TX2mSJw4kb— Swahili Times (@swahilitimes) June 29, 2017
Kutoka kwa @masoudkipanya pic.twitter.com/TT89DUnkmL— DJ CHOKA (@ChokaDJ) June 29, 2017
The two new bills to be made laws on Tanzanian Natural Resources/Wealth. Both under certificate of urgency @Semkae pic.twitter.com/J8CIUjhiTV— Zitto Kabwe Ruyagwa (@zittokabwe) June 28, 2017
Protests expected as Chinese Pres. Xi Jinping arrives in Hong Kong for 20th anniversary of city's handover to China.https://t.co/idBeDB4QD3 pic.twitter.com/7BiNs1sMa7— CNN Breaking News (@cnnbrk) June 29, 2017
No comments:
Post a Comment