News! Mbunge Kishoa ataka benki ya Stanbic ifutiliwe mbali!! #share
Mbunge wa Viti Maalum Bi Jesca Kishoa, ameitaka Serikali Kuifunga Benki ya Stanbinc kama iliyofanya kwa Benki ya FBME.
Mhe. Kishoa amesema, Benki ya Stanbic inastahili kufutwa kwa kuhusika kwake kwenye miamala iliyothibitika kuhusisha rushwa huku akivilaumu vyombo vya ulinzi na usalama kwa kutochukua hatua kwa wakati.
"Uamuzi wa kuifuta Benki ya FBME ulitokana na uchunguzi uliofanywa na mamlaka za nchini Marekani wakati tunavyo vyombo vya uchunguzi nchini. Vinafanya nini?" amehoji Jesca.
Wakati akiitaka Serikali kuchukua hatua hiyo amehimiza vyombo vya uchunguzi kujielekeza kwenye masuala makubwa ya kutaifa ili visionekane vinawashughulikia wapinzani.
Mhe. Kishoa amesema, Benki ya Stanbic inastahili kufutwa kwa kuhusika kwake kwenye miamala iliyothibitika kuhusisha rushwa huku akivilaumu vyombo vya ulinzi na usalama kwa kutochukua hatua kwa wakati.
"Uamuzi wa kuifuta Benki ya FBME ulitokana na uchunguzi uliofanywa na mamlaka za nchini Marekani wakati tunavyo vyombo vya uchunguzi nchini. Vinafanya nini?" amehoji Jesca.
Wakati akiitaka Serikali kuchukua hatua hiyo amehimiza vyombo vya uchunguzi kujielekeza kwenye masuala makubwa ya kutaifa ili visionekane vinawashughulikia wapinzani.
No comments:
Post a Comment