Top 10 News: Waziri Mbarawa 'amuweka mtu kati' Mkandarasi wa maegesho ya kivuko,.. #share Dada wa Mombasa amfungia safari Ali Kiba,.. CCM imeridhishwa na kasi ya JPM..
Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa MAKAME MBARAWA, amemtaka mkandarasi aliyepewa kazi ya ujenzi wa maegesho kwa ajili ya kivuko kuhakikisha maegesho hayo yanakuwa imara ili yadumu kwa muda mrefu.
Akizungumza na Waandishi wa Habari baada ya kukagua maegesho hayo, Waziri MBARAWA, pamoja na kumtaka mkandarasi huyo kujenga miundombini bora na kudumu, pia amemtaka kuharakisha ujenzi huo ambao hadi kukamilika kwake utagharimu Shilingi BILIONI 1 na Milioni 9 00 .
Ujenzi wa eneo la maegesho unatarajia kukamilika Novemba mwaka huu na kwamba kukamilika kwa ujenzi huo na kuletwa kwa kivuko kutasaidia wananchi wa Lindi Mjini na Lindi Vijijini kupata usafiri wa uhakika na salama zaidi - Source ITV
Bunge limeongeza muda hadi tarehe 5 Julai ili kujadili miswada mitatu inayohusiana na ulindaji wa rasilimali za nchi. pic.twitter.com/1g0Boxn2jm— Swahili Times (@swahilitimes) June 29, 2017
"Kuna maeneo kama Sengerema na Geita mahindi yamekauka, hivyo bado tuna upungufu wa chakula na hata bei ya chakula ipo juu" @majaliwa_kassim pic.twitter.com/8Fimy9SXOT— AzamTV (@azamtvtz) June 29, 2017
Diwani wa Kata ya Muriet, Arusha kupitia CHADEMA,Credo Kifukwe amejiuzulu nafasi yake na kusema kuwa anamuunga mkono Rais John Magufuli. pic.twitter.com/DVLUPFsSwM— millard ayo (@millardayo) June 29, 2017
Celebration and protest as China's Xi visits divided Hong Kong for handover anniversary https://t.co/Ic1SdA47gP pic.twitter.com/5GJ99k30iY— Reuters Top News (@Reuters) June 29, 2017
Dr Chuwa from NBS presenting on #ADAPT tool developed in collaboration with @ContactPARIS21 and dLab! #DataRevolution #AFData17 pic.twitter.com/0gyAipAhh8— dLab Tanzania (@dLabTz) June 29, 2017
#Habari:Waziri Prof.Mbarawa amtaka mkandarasi anayejenga maegesho ya kivuko kuharakisha.Soma zaidi->https://t.co/1j3udhPNcI pic.twitter.com/SGbK53AFVa— Radio One Stereo (@RadioOneStereo) June 29, 2017
CCM imeridhishwa na kasi ya utendaji na ufanisi wa Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Mhe @MagufuliJP ktk utekelezaji wa Ilani.— Chama Cha Mapinduzi (@ccm_tanzania) June 29, 2017
MWAMUZI AMTIMUA MCHEZAJI UWANJANI KWA BASTOLA— Mwanaspoti (@MwanaspotiTZ) June 29, 2017
Mwamuzi Camilo Eustaquio de Souza ametoa kali ya mwaka baada ya... https://t.co/SQa5INImyT
#Uheard— CloudsMediaLive (@CloudsMediaLive) June 29, 2017
Dada afunga Safari kutoka Mombasa hadi Bongo kumfuata @OfficialAliKiba ampatie mahitaji ya mtoto anayedaiwa kuwa ni Ali Kiba. pic.twitter.com/yZq6EkgA0r
No comments:
Post a Comment