TANZIA!! JPM Amuomboleza Dkt. Tonia Kandiero wa AfDB,.. #share,.. "ametusaidia kufanikisha ujenzi wa Madara, Barabara... na Miradi mingine.."

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, ametuma Salaam za Rambi-rambi kufuatia kifo cha ghafla cha Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB)Kanda ya Afrika Kusini Dkt. Tonia Kandiero.

Kabla ya Wadhifa wake wa sasa, Dkt. Kadiero aliwahi pia kuwa Mwakilishi wa AfDB Tanzania.

Dkt Magufuli amemuelezea Kandiero kama mchapakazi hodari aliefanikisha Miradi mingi ya Barabara na Madaraja Nchini mwetu..



About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search