Video: Tanzania Yachomoza Miongoni mwa Nchi 10 Barani Africa zenye Uchumi mkubwa zaidi !#share..Nigeria yaongoza..

Ndugu msomaji wa mtiririko huu wa "10 Bora".. leo nimekusogezea "another good news..". Tanzania Nchi yetu ambayo kwa miaka mingi imekuwa na uchumi wa kinadharia.. hatimae imeingia rasmi kwenye uchumi wa kitakwimu..

Itakumbukwa ni juzi tu Benk ya Dunia (WB) wametoa orodha kama hii ya ya nchi ambazo zinakuwa haraka kiuchumi mwaka 2017 huku Tanzania ikishika nafasi ya 5.
Katika orodha hii mpya iliyokusanywa na mtandao wa h10, Tanzania ni ya 10 miongoni mwa nchi zenye uchumi mkubwa kwa vigezo vya GDP kwa mwaka 2017, ikiwa na ukwasi wa $49 billion, huku Nigeria ikishika nafasi ya kwanza mbele ya Egypt na South Africa.. ikiwa na ukwasi wa 594.23 billion yaani mara 11 ya ukwasi wa Tanzania.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search