Big news: Rais Magufuli asema 'tumechoka kuchezewa.. #share asema makusanyo Kodi ya Majengo 'ni funga kazi..' TANTRADE nao Waja na Hoteli kubwa Uwanja wa 77'
“Tumechoka kuchezewa.” Hayo ni maneno ya Rais John Magufuli wakati akizindua rasmi maonyesho ya 41 ya kimataifa ya biashara huku akisisitiza maonyesho hayo yatumike kama chachu ya maendeleo.
“Tumechoka, tumechezewa mno, lakini tumechezewa kwa muda mrefu na tumechezewa kwa sababu tumeamua,” amesema.
Ameyasema hayo leo (Julai 1) wakati akihutubia katika viwanja vya Sabasaba. Pamoja na kusisitiza utajiri ambao Tanzania inao, Rais amewataka wawekezaji walioshiriki maonyesho hayo kuwekeza nchini kwa kuwa Tanzania ipo salama.
“Maonyesho haya yatumike kama chachu ya maendeleo,” amesema.
========== ====== =====
“Tumechoka, tumechezewa mno, lakini tumechezewa kwa muda mrefu na tumechezewa kwa sababu tumeamua,” amesema.
Ameyasema hayo leo (Julai 1) wakati akihutubia katika viwanja vya Sabasaba. Pamoja na kusisitiza utajiri ambao Tanzania inao, Rais amewataka wawekezaji walioshiriki maonyesho hayo kuwekeza nchini kwa kuwa Tanzania ipo salama.
“Maonyesho haya yatumike kama chachu ya maendeleo,” amesema.
========== ====== =====
WAKATI Huo huo rais amewapongeza Watanzania kwa mwamko waliouonyesha na kwa kujitokeza kwao kwa wingi kulipia kodi za majengo.. na kuwasifia TRA kwa kuwakadiria Watanzania kodi ambayo wanaweza kuilipa, na hivyo kujitokeza kwa wingi kufanya hivyo..
"Tutajenga mradi mkubwa wa kuzalisha umeme wa mega wati 2100 katika chanzo cha stears Gorge Kwa kutumia fedha zetu za ndani" @MagufuliJP— Msemaji wa Serikali (@TZ_MsemajiMkuu) July 1, 2017
Rais Dkt Magufuli amewahakikishia watanzania kuwa serikali inafedha za kutosha kujenga mradi wa umeme wa Stiglers Gorge katika Mto Rufiji. pic.twitter.com/LeZ50O2u5e— Swahili Times (@swahilitimes) July 1, 2017
Hoteli ya kisasa kujengwa ndani ya uwanja wa Sabasaba https://t.co/12gl1Jk4hb via @MwananchiNews #MwananchiLeo— Mwananchi Newspapers (@MwananchiNews) July 1, 2017
Mnyika na Msigwa wamkera Ndugai kusema bunge dhaifu https://t.co/pNsptiaQDh via @MwananchiNews #MwananchiLeo— Mwananchi Newspapers (@MwananchiNews) July 1, 2017
My Sister Fatna Ramole has been missing for more than 48hrs. If anyone has seen her or heard anything please contact me and spread the news. pic.twitter.com/WdkOE3L0Hm
— Bby Wa Moti (@luluramole) June 30, 2017
Hii ndio gari ambayo Fatna Ramole alikuwa anaendesha siku ya Alhamis. Kwa ambaye ameona gari hili naomba awasiliane nami 0719669759 pic.twitter.com/2uW2ChsO4t— Bby Wa Moti (@luluramole) July 1, 2017
Adele has cancelled the last two shows of her world tour in London this weekend https://t.co/lCNpE0vxnK pic.twitter.com/I0tWdDHEuM— BBC Newsbeat (@BBCNewsbeat) July 1, 2017
Mali Hii Mali ya Nani?— Zitto Kabwe Ruyagwa (@zittokabwe) July 1, 2017
1 Waungwana naulizeni
Majibu sasa nipeni
Hatumo tena mashakani
Kujua Mali ya Nani
2... https://t.co/yg0K7rBSFH
Top politician in Mt Kenya in trouble after biting more than she could chew https://t.co/IV8AXWTTOx via @UreportKe pic.twitter.com/92LFoYmFAf— The Standard Digital (@StandardKenya) July 1, 2017
Germany beat Spain to win under-21 Euro https://t.co/fLbvqUXMIg via @CapitalFMSport— Capital FM Kenya (@CapitalFMKenya) July 1, 2017
Suala la kumaliza uhalifu Kibiti halina mjadala - Mh. Masauni - https://t.co/hInSMJVjNJ pic.twitter.com/VKq9T1HDhf— bongo5.com (@bongofive) July 1, 2017
Murray v Nadal, Federer v Djokovic in potential Wimbledon semis https://t.co/MJ12mUXbNw via @CapitalFMSport— Capital FM Kenya (@CapitalFMKenya) July 1, 2017
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wazazi na walezi kutenga muda wa kuongea na vijana wao kuhusiana na athari za dawa za kulevya pic.twitter.com/d6EohpOmmf— Mwananchi Newspapers (@MwananchiNews) July 1, 2017
President @MagufuliJP assures the nation that the country has enough money to construct big hydropower plant at Stiglers Gorge pic.twitter.com/wmDlVg0otk— The Citizen Tanzania (@TheCitizenTZ) July 1, 2017
Democratic Senate staffers are mostly white and women, new report says https://t.co/HdWpqTjWpj— Washington Post (@washingtonpost) July 1, 2017
ZIFF LAUNCHES NEW CHAPTER IN AFRICAN FILM – CELEBRATING 20 YEARS #ZIFF2017 pic.twitter.com/k02JOeyFXr— SEIF KABELELE (@seifkabelele) July 1, 2017
No comments:
Post a Comment