Full Episode: Lionel Messi Alivyochukua Jiko Jana.. #share kamuoa mrembo Antonella Roccuzzo.. mastaa kibao wamsindikiza..

Hatimaye mshambuliaji wa timu ya Barcelona Lionel Messi amefunga ndoa na mpenzi wake wa utotoni ambaye tayari alikuwa amezaa naye watoto wawili anayeitwa Antonella Roccuzzo huku mastaa mbalimbali wamehudhuria harusi hiyo

Lionel Messi na mpenzi wake Antonella Roccuzzo

Lionel Messi na mpenzi wake Antonella Roccuzzo waliyefunga ndoa

Mastaa wa soka ambao Messi alicheza nao Barcelona kutoka kushoto Xavi na mkewe, Fabregas na mpenzi wake na Puyol na mkewe

Staa mwenzake wa FC Barcelona Luis Suarez na mkewe Sofia

Alba wa FC Barcelona na mpenzi wake



Mshambuliaji wa Manchester City na timu Taifa ya Argentina Segie Aguero akiwa na mke wake kwenye harusi ya Lionel Messi

Cesc Fabregas wa Chelsea na mpenzi wake

Lionel Messi na Antonella Roccuzzo



About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search