Breaking News!! Dr. Mashinji wa CHADEMA na wenzake waachiliwa huru!! #share

Habari za mchana huu kutoka vyanzo vya kuaminika vinatonya kwamba Katibu Mkuu kipenzi cha watu Dkt. Vincent Mashinji wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, pamoja na wabunge wawili wa chama hicho na viongozi wenzao sita wa chama waliokamatwa na Jeshi la Polisi na kushikiliwa tangu juzi wilayani Nyasa, mkoani Ruvuma wameachiliwa huru leo.


Afisa Habari wa Chadema Tumaini Makene amethibitisha kuachiliwa kwa viongozi hao.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search