Just In News!! Alichoandika Tundu Lissu mara baada ya kutoka Mahakamani bila kukamatwa!! #share
Alichoandika Tundu Lissu hivi punde baada ya kutaarifiwa kuwa taarifa za kukamatwa kwake hazikuwa zimevifikia vyombo husika Mjini Dodoma :
===================
Hapo awali blog yako ya Matukio360 iliripoti kuwa Lissu alikuwa kwenye shakashaka za kukamatwa kufuatia kauli tata ambazo ambazo amekuwa akizitoa kuhusu Serikali ikiwemo ya kuwaomba wahisani wakate misaada jambo ambalo limeibua hasira kali miongoni mwa wasomi, wanasiasa na watumiaji wa mitandao ya kijamii..
Fuatana nasi kuhusu yanayojiri. MWANASHERIA Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amegoma kutoka nje ya mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma, kwa maelezo kuwa amepata taarifa kuwa akitoka eneo la mahakama atakamtwa.
Tundu Lissu:
Dear members.
Dear members.
Sorry to disturb y'all again. I'm relieved to have to inform you that I'm free, for now at least.
A short while ago the Regional Police Commander for Dodoma came into the courtroom to personally inform me that he's under no instructions to have me arrested.
He asked me, politely I must confess, to leave the courtroom and no one will molest me. He said it in front of the cameras, as members of the press were present in good number.
I've decided to give him the benefit of my doubts. I'll be driving back to Dar tomorrow morning, to be able to catch an evening flight to Kigali, to attend EALS Governing Council meeting slated for Friday and Saturday.
We can, for now at least, breath an easier sigh of relief.
I thank you for keeping me in your thoughts and prayers.
Tundu Lissu
President
President
Hapo awali blog yako ya Matukio360 iliripoti kuwa Lissu alikuwa kwenye shakashaka za kukamatwa kufuatia kauli tata ambazo ambazo amekuwa akizitoa kuhusu Serikali ikiwemo ya kuwaomba wahisani wakate misaada jambo ambalo limeibua hasira kali miongoni mwa wasomi, wanasiasa na watumiaji wa mitandao ya kijamii..
Fuatana nasi kuhusu yanayojiri. MWANASHERIA Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amegoma kutoka nje ya mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma, kwa maelezo kuwa amepata taarifa kuwa akitoka eneo la mahakama atakamtwa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoa akimsihi Tundu Lissu atoke nje ya Mahakama.
Ujumbe uliotumiwa na mbunge huyo wa Singida Mashariki na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kwenye mitandao ya kijamii, unaeleza nia ya watu hao na kubainisha kuwa hatotoka mahakamani hapo, labda wakamkamate ndani ya mahakama hiyo.
Ujumbe uliotumiwa na mbunge huyo wa Singida Mashariki na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kwenye mitandao ya kijamii, unaeleza nia ya watu hao na kubainisha kuwa hatotoka mahakamani hapo, labda wakamkamate ndani ya mahakama hiyo.
“Wambie kuwa sitotoka nje ya mahakama . kama wanataka
kunikamata watanikamata nikiwa ndani ya mahakama. Tume ujumbe huu katika ndani
na nje ya nchi,” alisema Lissu katika ujumbe huo.
Tetesi za kukamatwa kwa mbunge huyo zimekuja ikiwa zimepita
siku mbili tangu Chadema kutaka jumuiya za kimataifa kuacha kuifadhili Tanzania
ikidai kuna ukiukwaji wa demokrasia na haki za binadamu.
Na Mwandishi Wetu
No comments:
Post a Comment