bREAKING nEWS: Majadiliano yameanza rasmi - Barrick Gold Corporation na Serikali ya Tanzania.. #share
Tumepokea habari ya faraja juu ya kuanza rasmi kwa majadiliano kati ya Kamati Maalum iliyoundwa na Rais na wawakilishi wa Barrick Gold Corporation.
Kwa mujibu wa Taarifa tuliyoipokea mchana huu kupitia kwa Ofisi ya Msemaji Mkuu wa Serikali, Kamati hiyo kwa upande wa Serikali ya Tanzania inaongozwa na Waziri wa Sheria na Katiba Prof. Palimagamba Kabudi, na Afisa Mwendeshaji Mkuu Richard Williams kwa upande wa Barrick.
Bakia nasi kupitia uzi wako huu wa matukio360 tuendelee kukujuza yanayojiri.
Kwa mujibu wa Taarifa tuliyoipokea mchana huu kupitia kwa Ofisi ya Msemaji Mkuu wa Serikali, Kamati hiyo kwa upande wa Serikali ya Tanzania inaongozwa na Waziri wa Sheria na Katiba Prof. Palimagamba Kabudi, na Afisa Mwendeshaji Mkuu Richard Williams kwa upande wa Barrick.
Bakia nasi kupitia uzi wako huu wa matukio360 tuendelee kukujuza yanayojiri.
— Gerson Msigwa (@MsigwaGerson) July 31, 2017
No comments:
Post a Comment