Breaking news: Picha 4 za Tukio baya la ajali Yombo; lasababisha vifo vya watu wawili na makumi ya abiria kujeruhiwa vibaya.. #share
Kumeripotiwa tukio baya la ajali iliyotokea asubuhi ya leo ambapo watu kadhaa wamejeruhiwa na wengineo vibaya sana baada ya basi la abiria maarufu Daladala kuigonga Treni katika eneo maarufu la Tandika Relini.
Daladala hiyo aina ya Toyota Coaster lenye namba za usajili T427 BQZ linalofanya safari zake kati ya Buza na Gerezani limekigonga kichwa cha treni kwenye makutano ya treni ya Devis Kona
kama hii ilikupita nayo..
Daladala hiyo aina ya Toyota Coaster lenye namba za usajili T427 BQZ linalofanya safari zake kati ya Buza na Gerezani limekigonga kichwa cha treni kwenye makutano ya treni ya Devis Kona
Majeruhi wengi waliokuwa kwenye daladala wamekimbizwa hospitali, na hadi sasa, watu wawili wameripotiwa kufariki kufuatia mkasa huo..
Matukio360 inaendelea kuwapa updates kutoka eneo la tukio kabla zitakavyojiri.. usibanduke kwenye uzi huu..
kama hii ilikupita nayo..
Chinese-made MA-60 passenger planes fly new routes in Cameroon pic.twitter.com/zLiomhR6HY— China Xinhua News (@XHNews) July 22, 2017
No comments:
Post a Comment