Breaking News! Staa Wine Rooney wa Everton alivyomnyanyua Waziri Mwakyembe.. #share 'ametua Uwanja wa JNIA na Private jet'


Waziri Dk Harisson Mwakyembe akisalimiana na Mchezaji Wayne Rooey wa timu ya Everton ya Uingereza inayoshiriki Ligi Kuu nchini humo EPL mara baada ya kikosi hicho kuwasi;li kwenye uwanja wa Ndege wa Mwalimu JNIA jijini Dar es salaam Everton inatarajiwa kushuka dimbani kesho kwenye uwanja wa Taifa kumenyana na timu ya Golmahia ya Kenya mchezo ulioandaliwa na kampuni ya SportPesa.

Baadhi ya viongozi na wachezaji wa timu hiyo wakishuka kwenye ndege mara baada ya kuwasili jijini Dar es salaam asubuhi hii

Kikosi cha timu ya Everton ya Uingereza kikiwa katika picha ya pamoja wakati kikishuka kwenye ndege iliyoileta timu hiyo kwenye uwanja wa Ndege wa JNIA jijini Dar es salaam.





About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search