Morning News: SPA Foto zamweka Zari na Diamond Platnumz 'ndani ya Bifu zito' unaambiwa 'Tiffah Dangote' sasa ni 'Tiffah Hassan'.. Trump leo 'kamkana mwanawe' Trump Junior kuhusu Mkutano wake na Majasusi wa Kirusi.. #share.. Ifakara Health wametuletea 'ndala' kutukinga na Mbu wa Malaria.. Ujio wa Staa Wine Rooney kutikisa Jiji leo.. Mwakyembe ashusha ujumbe 'mzito..'
Diamond and Zari recently had friction because of a swim spa photo. The two lovebirds are once again on a collision course and this time it’s damn serious. A month ago, Ivan Ssemwanga’s cousin – Edwin Lutaaya almost caused Diamond and Zari’s marriage to break after he was seen having a nice time with Zari in a swim spa.
Zari’s fans recently took issues with Diamond after the singer failed to go to the hospital to see his mother-in-law who has been in and out of hospital recently. Zari’s mother has heart complication and has been in and out of hospital in South Africa in recent weeks.
Netizens realized all was not well between Diamond and Zari after the latter changed their daughter’s name. Zari stated on Instagram that her daughter was no longer Latifah Dangote but rather Latifah Hassan - ghafla Tz
============= ======================
Mtoto wa kiume wa rais wa Marekani Donald Trump, amesema kuwa hakumfahamisha babake kuhusu mkutano na wakili raia wa Urusi ambaye alisema kuwa angesaidia katika kampeni yake ya uchaguzi
Donald Trump junior alikiambia kituoa cha habari cha Fox News kuwa mkutano huo haukuhusu chochote.
Alitoa barua pepe zake zikionyesha kuwa alikaribisha ombi la kukutana na wakili, ambaye alikuwa na uhusiano na Urusi, ambaye alikuwa na ujumbe potovu kumhusu Hillary Clinton.
Maafisa wa Marekani wanachunguza madai ya Urusi kuingilia uchaguzi wa Marekani.
Tangu achaguliwe Rais Trump ameandamwa na madai kuwa Urusi ilijaribu kuhujumu kampeni ya Bi Clinton.
Amekana kufahamu lolote na Urusi mara kwa mara imekana kungilia kampeni.
Alipoulizwa ikiwa alimuambia babake kuhusu mkutano wa mwaka uliopita, Bwana Trump junior alisema hakukuwa na chochote cha kumuambia.
Donald Trump Jr, mkwe wake Jared Kushner na mwenyekiti wa kampeni Paul Manafort, walikutana na wakili wa Urusi Natalia Veselnitskaya, katika jumba la Trump Tower mjini New York mwezi Juni mwaka 2016 - BBc
Akiongea kupitia Ayo Tv,.. Tundu Lissu amefunguka pia kuhusu issue ya kumfutia usajili Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Harrison Mwakyembe pamoja na utawala wa sheria nchini Tanzania.
Zari’s fans recently took issues with Diamond after the singer failed to go to the hospital to see his mother-in-law who has been in and out of hospital recently. Zari’s mother has heart complication and has been in and out of hospital in South Africa in recent weeks.
Netizens realized all was not well between Diamond and Zari after the latter changed their daughter’s name. Zari stated on Instagram that her daughter was no longer Latifah Dangote but rather Latifah Hassan - ghafla Tz
============= ======================
Mtoto wa kiume wa rais wa Marekani Donald Trump, amesema kuwa hakumfahamisha babake kuhusu mkutano na wakili raia wa Urusi ambaye alisema kuwa angesaidia katika kampeni yake ya uchaguzi
Donald Trump junior alikiambia kituoa cha habari cha Fox News kuwa mkutano huo haukuhusu chochote.
Alitoa barua pepe zake zikionyesha kuwa alikaribisha ombi la kukutana na wakili, ambaye alikuwa na uhusiano na Urusi, ambaye alikuwa na ujumbe potovu kumhusu Hillary Clinton.
Maafisa wa Marekani wanachunguza madai ya Urusi kuingilia uchaguzi wa Marekani.
Tangu achaguliwe Rais Trump ameandamwa na madai kuwa Urusi ilijaribu kuhujumu kampeni ya Bi Clinton.
Amekana kufahamu lolote na Urusi mara kwa mara imekana kungilia kampeni.
Alipoulizwa ikiwa alimuambia babake kuhusu mkutano wa mwaka uliopita, Bwana Trump junior alisema hakukuwa na chochote cha kumuambia.
Donald Trump Jr, mkwe wake Jared Kushner na mwenyekiti wa kampeni Paul Manafort, walikutana na wakili wa Urusi Natalia Veselnitskaya, katika jumba la Trump Tower mjini New York mwezi Juni mwaka 2016 - BBc
====================== ================= =======
Tundu Lissu kafafanua: Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika, TLS Tundu Lissu amezungumza na kutoa ufafanuzi kuhusu taarifa za ukimya wake baada ya kuchaguliwa kuwa Rais wa TLS ambapo mbali na hayo amezungumzia pia mchakato wa Katiba mpya na majukumu ya Rais wa TLS.Akiongea kupitia Ayo Tv,.. Tundu Lissu amefunguka pia kuhusu issue ya kumfutia usajili Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Harrison Mwakyembe pamoja na utawala wa sheria nchini Tanzania.
Trump: Sikufahamu lolote kuhusu mkutano wa Junior https://t.co/JwwqQOFxTy— bbcswahili (@bbcswahili) July 12, 2017
Makamu Rais Yemi Osinbajo amtembelea Buhari London https://t.co/u6qWkuTXwS— bbcswahili (@bbcswahili) July 12, 2017
TRA yaweka wazi makusanyo ya kodi mwaka 2016/2017 - https://t.co/EUyrNoWLFS pic.twitter.com/Mahqqjx3yN— bongo5.com (@bongofive) July 12, 2017
Sending money to TZ from UK most costly in E. Africa: report https://t.co/ANSSAOzjlZ via @TheCitizenTZ— The Citizen Tanzania (@TheCitizenTZ) July 12, 2017
China's $800 billion sovereign wealth fund says the U.S. government is keeping it from investing heavily in America https://t.co/s3ie6zzdKp— The New York Times (@nytimes) July 12, 2017
Separation rumors run rife as Zari drops Diamond’s name from their daughterhttps://t.co/E5LtMcluTA pic.twitter.com/I6civAn8Je— Ghafla Tanzania (@GhaflaTanzania) July 12, 2017
Family planning budget raised to Sh14bn https://t.co/lf3t6zUpfX via @TheCitizenTZ— The Citizen Tanzania (@TheCitizenTZ) July 12, 2017
Melinda Gates "deeply troubled" by Trump cuts to family planning https://t.co/gvwAl8WmTT— TIME (@TIME) July 12, 2017
OPINION: Why NASA government is best bet for Kenya https://t.co/3KyOKq5BZV— The Standard Digital (@StandardKenya) July 12, 2017
^RR pic.twitter.com/v4F9EVwGCi
Singapore urged to halt Malaysian drug convict’s execution https://t.co/P9WwDxOupx— Capital FM Kenya (@CapitalFMKenya) July 12, 2017
Uhuru consoles Nkaissery family - VIDEO - Daily Nation https://t.co/cWe9nF5Nrd— Daily Nation (@dailynation) July 12, 2017
Mayweather to quit boxing for good after McGregor bout https://t.co/4iIybZWb2D via @CapitalFMSport— Capital FM Kenya (@CapitalFMKenya) July 12, 2017
Rooney's Everton debut to be in Tanzania https://t.co/Sf0mW4c6S7 pic.twitter.com/rFDrJocgcK— BBC Africa (@BBCAfrica) July 10, 2017
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa Na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akitoa ujumbe wa kuikaribisha @everton Tanzania. #EvertonInTZ pic.twitter.com/Kt2Uezyu0t— SportPesa Tanzania (@TZSportPesa) July 12, 2017
Nigeria's acting president meets Buhari in London - Daily Nation https://t.co/s6QzySCaGn— Daily Nation (@dailynation) July 12, 2017
7 photos of Eric Omondi walking out in the open in his underwear (Photos)https://t.co/HnzvpoeUM1 pic.twitter.com/Y69oD0vqYy— Ghafla Tanzania (@GhaflaTanzania) July 12, 2017
Waziri Mwakyembe awatuliza mashabiki wanaotaka kuingia uwanjani kuwaona Everton wakitua Dar es Salaam https://t.co/v72mQkr0Pl— Mwanaspoti (@MwanaspotiTZ) July 12, 2017
Good news: Wataalamu wa kituo cha Utafiti Ifakara wamebuni kiatu chenye uwezo wa kufubaza Mbu hatari wa Malaria! pic.twitter.com/hn9XyM42RY— #matukio360 (@Matukio360) July 12, 2017
#HABARI Klabu ya Everton tayari imewasili jijini Dar es Salaam muda mfupi uliopita na kupokelewa na Waziri Mwakyembehttps://t.co/7NFCNpRExS pic.twitter.com/eLHwpyoI41— East Africa TV (@eastafricatv) July 12, 2017
No comments:
Post a Comment