FURSA: Waziri Mahiga aja na boda To boda' 'kuwashika' Vijana.. #share
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Augustine Mahiga amewataka vijana kuchangamkia fursa za kibiashara ili kuweza kukuza uchumi na ukuaji wa viwanda vidogo vidogo katika kushirikiana na kuwa na umoja katika Nchi za Afrika Mashariki.
Akizungumza hayo Dar es Salaam leo wakati wa uzinduzi wa Kongamano la kampeni ya Chungulia Fursa Boda to Boda,alisema Waziri kampeni hizo zina zina nia ya dhati katika kuwapatia vijana fursa katika kuwamasisha kuhusiana na biashara.
Alisema katika kila kanda Duniani wameona umuhimu wa kuungana katika kufanyabiashara hasa katika nchi zilizoendelea.
"Biashara ndio chimbuko la utajiri kwahiyo ili utengeneze fursa ya biashara lazima uwe na mtaji na mtaji ili ukuwe ni vema kuwa na viwanda,"alisema Mahiga.
Pia amewataka vijana na wakina mama kuchangamkia fursa za biashara katika kuwa na ushirikiano na umoja ili kuweza kukuza viwanda vyetu vya ndani na mahusiano ya kibiashara na Mataifa mengine.
Alisema hivyo Serikali yetu imeweza kutatua migogoro na vikwanzo vya forodha visiweze kutofautiana na hadi sasa vikwanzo hivyo tumeshavivuka hivyo serikali ipo katika mpango wa kuandaa soko la pamoja kwa lengo la kukuza ushirikiano wa biashara za mipakani za jumuiya ya Afrika Mashariki.
"Serikali ipo katika mpango mzuri wa kukuza biashara na kuunganisha soko la biashara ili kukuza uchumi na viwanda katika kunyanyua fursa kwa vijana na wakinamama hivyo tuko katika kuongeza ushirikiano na umoja na kutaka kuonganisha mfumo wa pamoja wa vyuo vya Tanzania na Nchi za Masharikia kuwa na ada moja ili.kuwawezesha wanafunzi kusoma popote,"alisema Mahiga.
Mkurugenzi Mtendaji wa FCS,Francis Kiwanga alisema lengo letu ni kuwahamasisha vijana na wanawake kuzichangamkia fursa za kibiashara katika kukuza maendeleo ya Taifa,hivyo kampeni hizo zitafanyika katika mikoa mengine kwa ajili ya kuwa elimu na uhamasishaji wa kujiungana kujimuika katika umoja wa biashara za mipakani katika jumuiya hiyo.
Akizungumza hayo Dar es Salaam leo wakati wa uzinduzi wa Kongamano la kampeni ya Chungulia Fursa Boda to Boda,alisema Waziri kampeni hizo zina zina nia ya dhati katika kuwapatia vijana fursa katika kuwamasisha kuhusiana na biashara.
Alisema katika kila kanda Duniani wameona umuhimu wa kuungana katika kufanyabiashara hasa katika nchi zilizoendelea.
"Biashara ndio chimbuko la utajiri kwahiyo ili utengeneze fursa ya biashara lazima uwe na mtaji na mtaji ili ukuwe ni vema kuwa na viwanda,"alisema Mahiga.
Pia amewataka vijana na wakina mama kuchangamkia fursa za biashara katika kuwa na ushirikiano na umoja ili kuweza kukuza viwanda vyetu vya ndani na mahusiano ya kibiashara na Mataifa mengine.
Alisema hivyo Serikali yetu imeweza kutatua migogoro na vikwanzo vya forodha visiweze kutofautiana na hadi sasa vikwanzo hivyo tumeshavivuka hivyo serikali ipo katika mpango wa kuandaa soko la pamoja kwa lengo la kukuza ushirikiano wa biashara za mipakani za jumuiya ya Afrika Mashariki.
"Serikali ipo katika mpango mzuri wa kukuza biashara na kuunganisha soko la biashara ili kukuza uchumi na viwanda katika kunyanyua fursa kwa vijana na wakinamama hivyo tuko katika kuongeza ushirikiano na umoja na kutaka kuonganisha mfumo wa pamoja wa vyuo vya Tanzania na Nchi za Masharikia kuwa na ada moja ili.kuwawezesha wanafunzi kusoma popote,"alisema Mahiga.
Mkurugenzi Mtendaji wa FCS,Francis Kiwanga alisema lengo letu ni kuwahamasisha vijana na wanawake kuzichangamkia fursa za kibiashara katika kukuza maendeleo ya Taifa,hivyo kampeni hizo zitafanyika katika mikoa mengine kwa ajili ya kuwa elimu na uhamasishaji wa kujiungana kujimuika katika umoja wa biashara za mipakani katika jumuiya hiyo.
No comments:
Post a Comment