TOP NEWS: Mwigulu alivyowapa makavu live 'Wizara ya Maji..' ashangaa Zimamoto kutozwa bili ya maji.. #share.. Mahakama yapigilia 'msumari wa mwisho, yasema Habinder atibiwe Muhimbili.. TRA Yacharuka Mwanza.. Yafungia Vituo kibao vya mafuta.. na Evrton yatuma salamu za Upendo kwa Tanzania..
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mwigulu Nchemba ameliagiza Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kuimarisha na kukabiliana na changamoto zilizomo ndani ya Taasisi hiyo muhimu kwa kutumia vyema rasilimali zinazopatikana ndani ya Taasisi hiyo.
================ =============
Kesi ya uhujumu uchumi inayowakabili wafanyabiashara James Rugemalira na Seth Habinder wa IPTL imeahirishwa hadi tarehe 22 mwezi huu.
================ ==================
Waziri Nchemba wakati akihutubia mkutano wa ndani wa Jeshi hilo chenye lengo la kurekebisha dosari zilizojitokeza na kujiwekea malengo ya kuboresha utendaji kazi kwa ujumla katika mwaka ujao wa kiutendaji. .
Moja ya vitu alivyogusia katika hotuba yake ya ufunguzi ni kututatua changamoto zinazowakabili jeshi la zimamoto likiwepo la baadhi ya vikosi vya jeshi hilo kuwachini ya wizara ya ujenzi, mawasiliano na uchukuzi (Bandari na Viwanja vya ndege) huku sheria mpya jeshi hilo ikitaka vikosi hivyo kuwa sehemu moja chini kamishna jenerali wa jeshi hilo
Kuhusu zimamoto kukatiwa huduma ya maji, Waziri Mwigulu amesema kuwa atakaa na Waziri mwenzake wa Maji kutatua tatizo hilo kwani kwa mujibu wa taratibu huduma hiyo inatakiwa kutolewa bure kwa vikosi vyake.. na akashangazwa na malalamiko ya kukatiwa Maji..
Kwa upande wake kamishna Jenerali wa jeshi la zimamoto akiongea kwenye Mkutano huo alimuomba Waziri Mwigulu kusaidia kutatua kero hizo za Maji na upungufu wa magari ili waweze kuendana na kasi ya Tanzania ya viwanda.
Moja ya vitu alivyogusia katika hotuba yake ya ufunguzi ni kututatua changamoto zinazowakabili jeshi la zimamoto likiwepo la baadhi ya vikosi vya jeshi hilo kuwachini ya wizara ya ujenzi, mawasiliano na uchukuzi (Bandari na Viwanja vya ndege) huku sheria mpya jeshi hilo ikitaka vikosi hivyo kuwa sehemu moja chini kamishna jenerali wa jeshi hilo
Kuhusu zimamoto kukatiwa huduma ya maji, Waziri Mwigulu amesema kuwa atakaa na Waziri mwenzake wa Maji kutatua tatizo hilo kwani kwa mujibu wa taratibu huduma hiyo inatakiwa kutolewa bure kwa vikosi vyake.. na akashangazwa na malalamiko ya kukatiwa Maji..
Kwa upande wake kamishna Jenerali wa jeshi la zimamoto akiongea kwenye Mkutano huo alimuomba Waziri Mwigulu kusaidia kutatua kero hizo za Maji na upungufu wa magari ili waweze kuendana na kasi ya Tanzania ya viwanda.
Mkutano huo wa siku mbili unafanyika Makao makuu ya Nchi Dodoma katika ukumbi wa LAPF
================ =============
Kesi ya uhujumu uchumi inayowakabili wafanyabiashara James Rugemalira na Seth Habinder wa IPTL imeahirishwa hadi tarehe 22 mwezi huu.
Watuhumiwa hao walifikishwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ambapo wakili wa serikali alisema upelelezi haujakamilika na hivyo kurudishwa mahabusu.
Aidha mawakili wanaomtetea mfanyabiashara Harbinder Singh Seth waliiomba mahakama imruhusu mteja wao akatibiwe nje ya nchi kwa madai kuwa ana uvimbe tumboni ambao umekuwa ukimsababishia maumivu makali na kumnyima usingizi kwa takriban wiki ya nne.
Hata hivyo ombi hilo limekataliwa mahakama na kuagiza kuwa mtuhumiwa huyo atibiwe katika hospitali ya Taifa Muhimbili.
Waziri Mwigulu alichowahidi Zimamoto kuhusu kupata magari mapya na kukatiwa maji ya uokoaji: https://t.co/kPo7AoEf3p via @YouTube— Hon.Mwigulu Nchemba (@mwigulunchemba1) July 14, 2017
— Bakari Machumu (@bmachumu) July 14, 2017
KISUTU: Mahakama yakataa ombi la Harbinder Sethi kutibiwa nje ya nchi kwa tatizo la uvimbe tumboni na kukoswa usingizi wiki 4 #TegetaEscrow— Jamii Forums (@JamiiForums) July 14, 2017
#DewjiBlogNews: Kampuni ya uchimbaji madini ACACIA imekubali kulipa mrabaha uliowekwa katika sheria mpya za madini wa asilimia 6% kutoka 4%. pic.twitter.com/DA7TR8lxHx— MO Dewji Blog (@DewjiBlog) July 14, 2017
•Waziri Mkuu mstaafu na Mjumbe wa Kamati kuu CHADEMA Mh, Edward Lowassa akiwa nyumbani kwake Masaki akiwa na mjukuu wake wakipiga story. pic.twitter.com/FLcoHCRvuf— CloudsMediaLive (@CloudsMediaLive) July 14, 2017
Bold move from Tanzania Commission of Human Rights and Good Governance castigating former president Mkapa for calling detractors 'foolish' https://t.co/zYBSJyc1Mq— semkae (@Semkae) July 13, 2017
Aliyekuwa diwani wa Murieti, Credo Kifukwe amesema amepokea vitisho vya kuchomewa gari baada ya kujitoa CHADEMA na kumuunga mkono Rais JPM. pic.twitter.com/HZ4FdL40R0— millard ayo (@millardayo) July 14, 2017
Judge loosens travel ban rules, France celebrates Bastille Day, and Beyoncé reveals twins' names. What to know today https://t.co/EVFWp0tsCk— TIME (@TIME) July 14, 2017
5/5 - Mkutano huo uliowakutanisha viongozi kutoka nchi mbalimbali duniani, umefanyika leo (Julai 14, 2017) jijini Kampala, Uganda. pic.twitter.com/F9d50nIvmh— CHADEMA MEDIA (@ChademaMedia) July 14, 2017
MWANZA: Vituo zaidi ya 10 vya Mafuta vyafungwa na Mamlaka ya Mapato Nchini(TRA) kwa kutokuwa na mashine za EFD— Jamii Forums (@JamiiForums) July 14, 2017
- Dodoma vyafungwa 8#JFLeo pic.twitter.com/iIanNiWJUU
Kinavyoonekana kituo cha mafuta cha GBP kilichopo Sinza Mori, kimefungwa na TRA baada ya kushindwa kutoa risiti za EFD kwa wateja wa mafuta. pic.twitter.com/RcoB6yVQXF— millard ayo (@millardayo) July 14, 2017
🇹🇿 | Tanzania, it's been a pleasure! 💙 #EvertonInTZhttps://t.co/xRUaHQStYy— Everton (@Everton) July 14, 2017
No comments:
Post a Comment