GUMZO: Mbunge Kunti Majala wa CHADEMA ashikiliwa Polisi.. Raila ataka Wakenya wasikutane 'kimwili' siku ya Mkesha wa Uchaguzi.. #share.. Buriani Bi Linah George Mwakyembe...
Mbunge wa Viti Maalum (Chadema) Kunti Majala alishikiliwa na polisi kwa zaidi ya saa tatu akidaiwa kufanya kusanyiko lisilo halali katika kijiji cha Mapango, kata ya Chandama wilaya ya Chemba mkoani Dodoma jana jioni.
Akizungumza na Mwananchi leo Jumanne, Julai 18, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Lazaro Mambosasa amesema mbunge huyo aliitwa na polisi kuhojiwa baada ya kupokea malalamiko kuwa alikuwa akiitukana Serikali na kutumia lugha chafu katika shughuli zake za kisiasa kwenye jimbo hilo.
Odinga ameyasema hayo wakati akihutubia katika eneo la Homa Bay ambapo alisema wananchi wanatakiwa kujiandaa kwa uchaguzi ambao utafanyika Agosti, 8 na hivyo ni vyema siku hiyo wasikutane na wenza wao ili wajiandae kwa uchaguzi.
Katika kusisitiza hilo amewataka hata ambao wapo kwenye ndoa kufata ushauri wake na akiwataka wanawake kuwanyima waume zao unyumba hata kama wakitaka kufanya nao mapenzi.
“Tunakwenda kwenye vita tunahitaji kuwa na nguvu ya kutosha kabla hatujaingia kwenye vita Agosti 8, hakuna mtu kati yetu anatakiwa kufanya mapenzi usiku wa kuamkia siku ya uchaguzi, “Wanawake wote wanapaswa kuwanyima unyumba haki yao kwa usiku wa kuamkia siku ya uchaguzi,” alisema Odinga wakati akiwahutubia wananchi na kuongeza.
“Tukifanya hivyo tutaweza kuamka mapema, tutapiga kura na kubakiwa tukiwa vizuri mpaka siku matokeo yanatangazwa.” alimaliza Bw. Odinga. Mo blog
==========================
Akizungumza na Mwananchi leo Jumanne, Julai 18, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Lazaro Mambosasa amesema mbunge huyo aliitwa na polisi kuhojiwa baada ya kupokea malalamiko kuwa alikuwa akiitukana Serikali na kutumia lugha chafu katika shughuli zake za kisiasa kwenye jimbo hilo.
Pia amesema mbunge huyo alikuwa akifanya mkutano wa hadhara bila kuwa na kibali cha polisi.
Hata hivyo, Kunti amesema kuwa aliruhusiwa kufanya mkutano huo na Mkuu wa Polisi wa Wilaya ya Chemba kwa njia ya simu.
Hata hivyo jana alipomaliza kuhojiwa, polisi walitoa barua ya kukataza mikutano yake ya hadhara aliyokuwa aifanye jimboni humo kuanzia jana hadi Julai 20 - mwananchi online..
========================================
Mgombea Urais nchini Kenya kwa tiketi ya Umoja wa Upinzani (NASA), Raila Odinga amewataka wananchi nchini humo kutokutana kimwili na wenza wao siku ya mkesha wa Uchaguzi Mkuu Agosti, 7. ========================================
Odinga ameyasema hayo wakati akihutubia katika eneo la Homa Bay ambapo alisema wananchi wanatakiwa kujiandaa kwa uchaguzi ambao utafanyika Agosti, 8 na hivyo ni vyema siku hiyo wasikutane na wenza wao ili wajiandae kwa uchaguzi.
Katika kusisitiza hilo amewataka hata ambao wapo kwenye ndoa kufata ushauri wake na akiwataka wanawake kuwanyima waume zao unyumba hata kama wakitaka kufanya nao mapenzi.
“Tunakwenda kwenye vita tunahitaji kuwa na nguvu ya kutosha kabla hatujaingia kwenye vita Agosti 8, hakuna mtu kati yetu anatakiwa kufanya mapenzi usiku wa kuamkia siku ya uchaguzi, “Wanawake wote wanapaswa kuwanyima unyumba haki yao kwa usiku wa kuamkia siku ya uchaguzi,” alisema Odinga wakati akiwahutubia wananchi na kuongeza.
“Tukifanya hivyo tutaweza kuamka mapema, tutapiga kura na kubakiwa tukiwa vizuri mpaka siku matokeo yanatangazwa.” alimaliza Bw. Odinga. Mo blog
==========================
"We are still active on the transfer market so let’s see what kind of opportunities we can find"https://t.co/FWufY7m15w— Arsenal FC (@Arsenal) July 18, 2017
#Uheard— CloudsMediaLive (@CloudsMediaLive) July 18, 2017
Giggy Money ametangaza hali ya hatari eti anataka kumteka Msanii Diamond Platnumz kimapenzi. pic.twitter.com/1442ng1j62
— Rashid Kejo (@Power_Kejo) July 18, 2017
Mwili wa marehemu Linah George mke wa Waziri Dr. Mwakyembe ulivyotolewa kanisani tayari kuelekea Uwanja wa Ndege JNIA kwa safari ya Mbeya. pic.twitter.com/ryviwtoMrA— millard ayo (@millardayo) July 18, 2017
UAE behind Qatari media hacking that gave cause for Gulf crisis | Today's Front Pagehttps://t.co/I4vaZA9j7w pic.twitter.com/FuSBwkzTIY— DAILY SABAH (@DailySabah) July 18, 2017
Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 18.07.2017 na Salim Kikeke https://t.co/8VFA75xjsq— bbcswahili (@bbcswahili) July 18, 2017
BBC DIRA YA DUNIA JUMATATU 17/07/2017: https://t.co/gIsstxrp2V via @YouTube— zuhura yunus (@venusnyota) July 18, 2017
Jiandae kuupokea msimu mpya 2017-2018 utakaoanza Agosti 26 mwaka huu. Hebu tujikumbushe msimu uliopita ulivyokuwa... https://t.co/xSnpoz2gAo— Azam FC (@azamfc) July 18, 2017
Hali ya hatari yatangazwa Sudan Kusini https://t.co/BO76LTlZKE— bbcswahili (@bbcswahili) July 18, 2017
The president of the Spanish Football Federation & his son have been arrested as part of a corruption investigation https://t.co/AcZNqAT4ip pic.twitter.com/jQ5RFeudzH— BBC Sport (@BBCSport) July 18, 2017
Mourinho pleased as ‘top striker’ Lukaku opens account https://t.co/F8CSmVMsLy pic.twitter.com/7oXSaNOb4P— Citizen TV Kenya (@citizentvkenya) July 18, 2017
Chinese #firefighters train to scramble like Spiderman to better perform rescue missions pic.twitter.com/cpQmJscECT— CGTN (@CGTNOfficial) July 18, 2017
Quite possibly the world's weirdest train journey. Take a trip with us to the North Korean border pic.twitter.com/BsNtIbbbKa— BBC News (World) (@BBCWorld) July 18, 2017
No comments:
Post a Comment