TAARIFA KUTOKA JESHI LA POLISI.. IGP Sirro apangua Makamanda wake.. #share

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro amefanya mabadiliko ya kiuongozi katika Mikoa ya Kinondoni na Shinyanga.

Tumekusogezea Taarifa Rasmi kutoka Makao Makuu ya Jeshi la Polisi kama tulivyoipokea..

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search