nEWS: Makazi ya 'makamo wa rais' yavamiwa, mlinzi wake ajeruhiwa vibaya.. #share..

Watu wasiojulikana dhamira yao jana mchana wa tarehe 29/07/2017 walivamia nyumba ya Makamo wa Rais Nchini Kenya Bw. William Ruto na kufanikiwa kuingia ndani ya nyumba hiyo iliyoko mji mdogo wa Sugoi wilayani Uasin Gishu..



Kwa mujibu wa Taaifa rasmi ya Jeshi la police iliyosainiwa na Mkuu wa Jeshi hilo Inspector General Joseph Boinet, Mlinzi wa getini wa makao hayo alijeruhiwa vibaya na anapatiwa matibabu.. 
Police walifanikiwa kumdhibiti mvamizi huyo na bado anashikiliwa na Jeshi hilo..
.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search