RECORD: TRA imekusanya Trillioni 14.4 ikivunja Rekodi ya Mwaka jana kwa 7.67%.. Imewashukuru wadau #share




Mamlaka ya Ukusanyaji Mapato Tanzania TRA imefanikiwa kukusanya kiasi cha Tshs. Trillioni 14.4 kwa mwaka 2016/17 ikiwa ni ongezeko la asilimia 7.67 ikilinganishwa na makusanyo ya mwaka 2015/16.

Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi wa Elimu kwa walipa Kodi Bw. Richard Kayombo alipoongea na Waandishi wa Habari kuwashukuru wadau mbalimbali kwa kufanikisha TRA kutinimiza malengo yake.

Matukio360 tumekuwekea waraka maalum wenye ripoti kamili kutoka kwa Bw. Kayombo.



About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search