Breaking News: Dkt Abbas atwaa Uteuzi wa JPM, sasa atakuwa Mkurugenzi Mkuu na Msemaji Mkuu wa Serikali.. #share


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo amemteua Mkurugenzi wa Idara ya Habari- Maelezo Dkt Hassan Abbas kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali.

Kwa Mujibu wa Taarifa kutoka Ikulu tuliyoipokea usiku huu Uteuzi huo ni kwa mujibu wa Sheria Mpya ya Huduma ya Vyombo vya Habari ya Mwaka 2016.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search