bURUDANI: Hamisa Mobetto leo ameachia picha mpya huku akionekana kuonesha ujauzito #SHARE

Mrembo wa Tanzania Hamisa Mobetto ameachia picha mpya huku akionekana kuonesha ujauzito wake kupitia mtandaoni wake wa Instagram.
Hamisa aliambatanisha picha zake kwa kuweka wazi kuwa amemfungulia mtoto anayemtarajia akaunti mpya ya Instagram ambayo ameiweka jina la ‘Tanzanian baby’.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search