bURUDANI: Staa Walper aanika mahusiano yake mapya.. asema watu hawafamu mazito anayokutana nayo kwenye mahusiano yake.. #share
Muigizaji wa filamu za Bongo Jacqueline Wolper ako na tabia ya kubadili wapenzi kila kukicha. Na sasa amekiri kuwa hatawacha tabia yake hio.
Wolper alipokuwa na mahusiano na Harmonize watu wengi walidhani mapenzi yao yatadumu lakini wawili hao waliachana na kila mmoja kupata mpenzi mpya.
Wolper akiwa na mahusiano na Harmonize |
Katika mahojiano na Risasi Mchanganyiko hivi karibuni, Wolper alikiri kuwa ataendelea kubadili wapenzi muda wowote atakapogundua kuwa aliyenaye hana vigezo.
Wolper na mpenzi wake mpya Brown |
“Unajua unapokuwa na mpenzi huwezi kujua kuna tabia utakumbana nazo ambazo haziendani na wewe, lakini pindi unapogundua ni bora kuondoka kuliko kukaa sehemu ambayo huna furaha nayo,” alisema Jacqueline Wolper - Ghafla..
No comments:
Post a Comment