nEWS: JPM afanya uteuzi maafisa wa Zimamoto.. #share..

Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli awapandisha vyeo na kuwateua maafisa wawili wa Jeshi la Zimamoto kuwa Makamishna.
Taarifa kamili tumekuwekea hapa chini.


About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search