Kauli ya Rais wa PSG ya Neymar No.1,.. yawakwaza Ronaldo, Messi.. #share

Wachezaji 'grade one' na nyota wa wakati wote(superstars of ALL-Time) Christiano Ronaldo na Leonel Messi wameonekana kumbeza vikali Rais Tajiri wa Club ya Paris Saint Germane (PSG) AL-KHALAIFI kwa kauli yake ya hivi karibuni ya Neymar No.1 iliyomshawishi kuvunja kibubu, na kutoa kitita cha pauni za Kingereza £ 222 million  kumnasa nyota Neymar na hivyo kuvunja Mara-dufu record ya dunia ya uhamisho katika soka


Mtandao mmoja wa utani wa mambo ya kisoka umechapisha  kibonzo cha wachezaji hao wakimtolea macho na kumkebehi  Al-khalaifi, na kusema kwamba kumuweka Neymar no.1 kuwazidi  wao katika 'radar za kisoka' hakuna mashiko, na kutaja sababu ya kumsifia kuwa ni kwa sababu Al-khalaifi amekosa 'fungu nene' la kuweza kuwanunua wao (Ronaldo na Messi).

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search