kENYA eLECTION: Mgombea wa Urais ashindwa kupiga kura kisa mafuriko...#share


Mgombea wa Urais, Dr. Ekuru Aukot akwama kupiga kura baada ya mafuriko kuvunja na kulisomba daraja la huko kaunti ya Nginyang.


Kwa upande wake Rais Uhuru Kenyatta akiambatana na mkewe Margaret wamepiga kura kituo cha Shule ya Msingi Mutomo, Gatundu Kusini.

Mgombea urais wa muungano wa Nasa Raila Odinga amepiga kura katika Kituo cha kupigia kura cha Shule ya Msingi Old Kibera.

Hata hivyo Mvua kubwa iiliyonyesha nchini humo imekwamisha zoezi la upigaji kura katika maeneo mabli mbali ikiwemo Turkana, Baringo na Samburu.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search