Magazeti ya Leo 09/08/2017: Ulimi wa JPM wawatesa Mawaziri.. Mbowe ataka aombewe KUPUNGUZA ukali wa maneno,.. Wakenya waamua.. 'Uhuru atosha tena Kenya',.. Mazito yaibuka Barrick.. upekuzi wafanyika dunia nzima,.. Masamaki wa TRA 'hayajesha bado..' yasemekana Takukuru wapanga kumuhoji Upyaa....! #share


 Jaji Mutungi akana Viongozi CUF kubebwa,.. JK, Lowasa kumzika Billionaire wa Hotel, Agizo la JPM laleta 'afuweni' ada za Vyuo Vikuu,.. Wazawa watwaa hisa za Voda za Sh. 285Bilioni,.. 




About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search