Magazeti ya Sports na Hardnews Leo 17/08/2017: Balozi Mwapachu 'kavurugwa' Kisa ? Mbwa wake kapotea,.. Kesi ya Lema yaitikisa Serikali,.. Pangua-pangua yawakumba Makamanda Jeshi la Zimamoto,.. Okwi, Niyonzima bado pasua kichwa,.. Omog, Lwandamina tumbo joto Ngao ya Jamii,.. na Uchunguzi 'Makinikia' ya Almasi 'pasua kichwa'... #share
Mafia 'waibipu' TRA.. wacheza na mashine za EFD,.. Raila Odinga 'amkwamisha' Uhuru Kuapishwa,.. Moto wa ajabu umeteketeza soko la Mwanjelwa,.. Simbu asimulia alivyosota,.. Watoto wa Lucky Vincent kurejea Nchini kesho..
No comments:
Post a Comment