Marais Shein na JPM waliposimama bega kwa bega kumlaki mgeni wao Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri Mhe. Abdel Fattah El-Sisi alivyowasili nchini leo.. #share




MIS1
Rais wa Jamhuri ya  Kiarabu ya Misri Mhe. Abdel Fattah el-Sisi akiwasili nchini  leo kwa ziara rasmi ya Kiserikali ya siku mbili. Apokelewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania  Dk. John Pombe Magufuli katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam
MIS2
Rais wa Jamhuri ya  Kiarabu ya Misri Mhe. Abdel Fattah el-Sisi akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania  Dk. John Pombe Magufuli katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaama mara baada ya kuwasili nchini  leo kwa ziara rasmi ya Kiserikali ya siku mbili. Apokelewa na
MIS3
DSC_9843
Rais wa Misri Mhe.Abdel Fattah El-Sisi alipokuwa akielekea kukagua gwaride la Heshma baada ya kupokea salamu  leo  katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius kamabarage Nyerere Jijini Dar es Salaam mara alipowasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku mbili, [Picha na Ikulu.] 14/08/2017.
DSC_9895
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) Makamu wa Rais wa Jamhuri tya Muungano Mhe.Mama Samia Suluhu Hassan (kushoto) na Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe.Majaliwa Kassim Majaliwa  wakiwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Kamabarage Nyerere Jijini Dar es Salaam  wakati wa   mapokezi ya Rais wa Misri Mhe.Abdel Fattah El-Sisi (hayupo pichani) alipowasili nchini leo kwa ziara ya siku mbili kwa mualiko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli, [Picha na Ikulu.] 14/08/2017.
DSC_9806
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein wakiwapungia mikono wananchi waliofika katika mapokezi ya Rais wa Misri Mhe.Abdel Fattah El-Sisi alipowasili leo katika Uwanja wa Ndege wa  Kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere Jijini Dar es Salaam kwa ziara ya siku mbili, [Picha na Ikulu.] 14/08/2017.
DSC_9915
Rais wa Misri Mhe.Abdel Fattah El-Sisi mara akipunga mkono huku akiwa ameongozana na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli, Mara baada ya kuwasili  katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius kamabarage Nyerere  Jijini Dar es Salaam kwa ziara ya siku mbili. [Picha na Ikulu.] 14/08/2017. 
DSC_9801
Kikundi cha Brass Bandi kilipokuwa kikiburudisha wakati wa mapokezi ya Rais wa Misri Mhe.Abdel Fattah El-Sisi alipowasili leo katika Uwanja wa Ndege wa  Kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere Jijini Dar es Salaam kwa ziara ya siku mbili, [Picha na Ikulu.] 14/08/2017.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search