Matukio Pichani: Shaka wa UVCCM amewasili Kisiwani Pemba 'kimkakati' zaidi .. atakagua Ilani kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020.. #share



Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka leo Agosti 15, 2017 amewasili Visiwani Pemba-Zanzibar kwa Ziara ya kikazi.
Ambapo hii Leo atakuwa katika Wilaya ya Chakechake, katika Ziara hiyo Katibu Mkuu UVCCM Taifa atakagua utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi ya CCM katika kipindi hiki Cha Miaka mitano 2015-2020
Aidha, Shaka atashiriki shughuli Mbalimbali za kijamii sambamba na kuzungumza na Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi na Jumuiya zake.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Ndg
Shaka Hamdu Shaka leo Agosti 15, 2017 akisalimiana na Wanachama wa chama cha Mapinduzi CCM na Jumuiya zake mara baada ya kuwasili Visiwani Pemba-Zanzibar
kwa Ziara ya kikazi.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Ndg
Shaka Hamdu Shaka leo Agosti 15, 2017 akisalimiana na Wanachama wa chama
cha Mapinduzi CCM na Jumuiya zake mara baada ya kuwasili Visiwani
Pemba-Zanzibar
kwa Ziara ya kikazi.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Ndg
Shaka Hamdu Shaka leo Agosti 15, 2017 akisalimiana na Wanachama wa chama
cha Mapinduzi CCM na Jumuiya zake mara baada ya kuwasili Visiwani
Pemba-Zanzibar
kwa Ziara ya kikazi.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Ndg
Shaka Hamdu Shaka leo Agosti 15, 2017 akisalimiana na Wanachama wa chama
cha Mapinduzi CCM na Jumuiya zake mara baada ya kuwasili Visiwani
Pemba-Zanzibar
kwa Ziara ya kikazi.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Ndg
Shaka Hamdu Shaka leo Agosti 15, 2017 akisalimiana na Wanachama wa chama
cha Mapinduzi CCM na Jumuiya zake mara baada ya kuwasili Visiwani
Pemba-Zanzibar
kwa Ziara ya kikazi.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Ndg
Shaka Hamdu Shaka leo Agosti 15, 2017 akisalimiana na Wanachama wa chama
cha Mapinduzi CCM na Jumuiya zake mara baada ya kuwasili Visiwani
Pemba-Zanzibar
kwa Ziara ya kikazi.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search