nEWS: Brigadia wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) aula kwa JPM... apewa kitengoTakukuru...#share

RAIS John Magufuli leo amemteua Brigadia Jenerali John Julius Mbungo kuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru)

Taarifa ambayo imetumwa kwa vyombo vya habari na Mkurugezi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU Gerson Msigwa imesema uteuzi huo Umeanza leo Agosti 2i.







Na Abraham Ntambara

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search