nEWS: NBS yaishukia GeoPoll kuhusu 'Takwimu za Vichochoroni'.. yataka zipuuzwe..

Ofisi ya Takwimu ya Taifa NBS imeziponda takwimu zilizotolewa hivi karibuni na Kampuni ya GeoPoll kuhusiana na ukusanyaji wa taarifa za Television na Radio nchini kwa idadi ya watazamaji ikidai hazikukusanywa kwa njia iliyoidhinishwa.


About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search