tRENDING nEWS: Hatimaye timu ya Wazalendo 7 katika Mkutano wa Makinikia yawekwa hadharani.. #share..


Kwa takriban siku ya tatu sasa Watanzania wamekuwa kimya wakitafakari pengine wakiiombea Mungu timu yetu ya Makinikia iliyojifungia Katika Majadiliano Mazito, na pengine ya Kihistoria ya kukomboa raslimali zetu Katika Sekta ya Madini.. 
Swali kubwa liligonga mitandao ya Kijamii ni jee mbali na Waziri wetu wa Sheria na Katiba Profesa Msomi Palimagamba Kabudi, ni nani na nani wengine walioko ndani ya Uwakilishi huo kutoka upande wa Tanzania?
Matukio360 imenasa 'uwaraka unaitembea' ukitaja baadhi ya wahusika.. na kuwafikishia, na kama ni kweli kuna haja ya kujipongeza kwa timu hii strong na yenye uzalendo wa kweli..
tunakaribisha maoni yenu chini ya kisanduku hiki...


About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search