Breaking: Yusufu Manji azidi kuandamwa na Majanga... Baada ya kuvuliwa Udiwani sasa JPM ampora shamba... #share
RAIS John Magufuli amefuta umiliki wa mashamba mawili makubwa katika eneo la Kigamboni na kuyarudisha serikalini.
Moja ya mashamba hayo limo la Amadol lenye ekari 5,400 ambalo lililokuwa likimilikiwa na mfanyabiashara Yusuf Manji lenye ekari 715.
Waziri Lukuvi ndiyo ametangaza leo kufuta umiliki wa ardhi wa mashamba ya mfanyabiashara huyo lililoko Kigamboni jijini Dar es Salaam
Kufutwa kwa shamba hilo inakuwa ni mwendelezo wa Majanga yanayoendelea kumkumba aliyekuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga na Diwani wa Mbagala CCM.
Kwani utakumbuka hadi sasa anakabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi pamoja na matumizi ya dawa za kulevya.
Na Mwandishi Wetu
Moja ya mashamba hayo limo la Amadol lenye ekari 5,400 ambalo lililokuwa likimilikiwa na mfanyabiashara Yusuf Manji lenye ekari 715.
Waziri Lukuvi ndiyo ametangaza leo kufuta umiliki wa ardhi wa mashamba ya mfanyabiashara huyo lililoko Kigamboni jijini Dar es Salaam
Kufutwa kwa shamba hilo inakuwa ni mwendelezo wa Majanga yanayoendelea kumkumba aliyekuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga na Diwani wa Mbagala CCM.
Kwani utakumbuka hadi sasa anakabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi pamoja na matumizi ya dawa za kulevya.
Na Mwandishi Wetu




No comments:
Post a Comment