NEWS: TAKUKURU yamtaja mmiliki wa 'vichwa tata vya Treni' bandarini.. yaainisha ukiukwaji wa taratibu za kiutawala wakati wa uagizaji.. #share
TAKUKURU imesema kuwa mmiliki wa vichwa vya Treni vilivyoko Bandarini ni kampuni ya Electro-Motive Diesel lakini hakuna mkataba wa mauziano kati yake na TRL.

Rais aliviagiza vyombo vya usalama kufuatilia sakata la vichwa hivi baada ya ununuzi wake kuwa na utata na Wizara ya Ujenzi na Mawasiliano kusema haina taarifa za ununuzi wake.
Mkurugenzi wa TAKUKURU amesema katika sakata hili inawezekana taratibu za kiutawala zilikiukwa au makosa ya jinai yalitendwa.
Lakini wao kama TAKUKURU bado wanaendelea kufuatilia kwasababu watuhumiwa wote wameshahojiwa na vielelezo vyote wamevipata.
Kama kuna makosa ya kijinai watapeleka jalada kwa Mwendesha Mashitaka wa Serikali.
Source: JF
Rais aliviagiza vyombo vya usalama kufuatilia sakata la vichwa hivi baada ya ununuzi wake kuwa na utata na Wizara ya Ujenzi na Mawasiliano kusema haina taarifa za ununuzi wake.
Mkurugenzi wa TAKUKURU amesema katika sakata hili inawezekana taratibu za kiutawala zilikiukwa au makosa ya jinai yalitendwa.
Lakini wao kama TAKUKURU bado wanaendelea kufuatilia kwasababu watuhumiwa wote wameshahojiwa na vielelezo vyote wamevipata.
Kama kuna makosa ya kijinai watapeleka jalada kwa Mwendesha Mashitaka wa Serikali.
Source: JF



No comments:
Post a Comment