JPM Awasili Jijini Dar es Salaam Baada ya Kumaliza Ziara yake Mkoani Arusha...Habari Katika Picha Hizi Hapa na Matukio360..#share



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es
Salaam Paul Makonda pamoja na viongozi wengine wa Mkoa wa Dar es Salaam mara 
baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere(JNIA) 
jijini Dar es Salaam wakati akitokea Mkoani Arusha.




 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa 
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya 
Ilala Sophia Mjema mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa 
wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam wakati akitokea Mkoani 
Arusha.





Rais 
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli 
akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda pamoja na viongozi 
wengine mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu 
Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam wakati akitokea Mkoani Arusha. PICHA NA IKULU


About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search