Jua alichosema Rais wa TLS Tundu Lissu baada ya Mahakama ya Juu nchini Kenya kubatilisha matokeo ya kiti cha Urais...#share

Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) na Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Mendeleo (Chadema) amesema “Mahakama ya Tanzania ina mengi ya kujifunza kutoka Kenya,”.


Lissu ametoa kauli hiyo kupitia ukurasa wake wa Twitter muda mfupi baada ya Mahkama ya Juu nchini kenya kufuta ushindi wa Uhuru Kenyatta katika kiti cha Urais kufuatia kubani kuwepo kwa kasoro katika uchaguzi huo.








About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search