Kesi ya Viongozi wa Simba Yapigwa Kalenda..Soma Habari Kamili na Matukio360..#share


KESI inayowakabili viongozi wa Klabu ya Simba imesikilzwa leo katika Mahamaka ya Hakimu  Mkazi Kisutu  jijini Dar es Salaam na kuelezwa kuwa jalada lililopelekwa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka DPP kwa lengo la kujiridhisha na uchunguzi halijarejeshwa hivyo kupelekea kesi hiyo kuahirishwa.


Vigogo hao wa simba ambao ni rais Evans Aveva na Makamu wake, Geofrey Nyange maarufu Kaburu wanakabiliwa na mashtaka utakatishaji fedha.

Aidha upande wa utete wa viongozi hao wa simba wameiomba mahakama kesi hiyo itajwe tarehe za karibu, hivyo kesi hiyo imearishwa hadi oktoba 4 mwaka huu.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search